Sunday 24 January 2016

TAARIFA.

Wizara ya ulinzi na Usalama kupitia kwa waziri wake Mh. Yekonia Kolingo inapenda kuwatangazia WANASFUCSO wote kuwa:

1. Asiyekuwa na kitambulisho cha chuo alipoti mara moja wizara ya ulinzi na usalama.

2. Kuanzia kesho tarehe 26/01/2016 hakuna mwanafunzi atakaye ruhusiwa kuingia maeneo ya Iteka Complex na maeneo mengine yanayotumika na SFUCHAS kujifunzia, kama hatokuwa amevaa kitambulisho.

3. Tatizo la MD 1 kutokuwa na ulinzi wakiwa John Paul hall tunaendelea kulifanyia kazi na ufumbuzi utapatikana hapa karibuni.

Imetolewa na Xavery Xavery Chilemba.

Kutoka Wizara ya Habari na Mawasiliano.

About the Author

Unknown

Author & Editor

Has laoreet percipitur ad. Vide interesset in mei, no his legimus verterem. Et nostrum imperdiet appellantur usu, mnesarchum referrentur id vim.

Post a Comment

 
SFUCSO_official BLOG © 2015 - Designed by Templateism.com