TAARIFA.
Wizara ya ulinzi na Usalama kupitia kwa waziri wake Mh. Yekonia Kolingo inapenda kuwatangazia WANASFUCSO wote kuwa:
1. Asiyekuwa na kitambulisho cha chuo alipoti mara moja wizara ya ulinzi na usalama.
2. Kuanzia kesho tarehe 26/01/2016 hakuna mwanafunzi atakaye ruhusiwa kuingia maeneo ya Iteka Complex na maeneo mengine yanayotumika na SFUCHAS kujifunzia, kama hatokuwa amevaa kitambulisho.
3. Tatizo la MD 1 kutokuwa na ulinzi wakiwa John Paul hall tunaendelea kulifanyia kazi na ufumbuzi utapatikana hapa karibuni.
Imetolewa na Xavery Xavery Chilemba.
Kutoka Wizara ya Habari na Mawasiliano.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment