Wednesday 28 October 2015




Sports bring us together and promote healthy lifestyle. Network building and Socialization. #TuliahidiTumetekeleza
PONGEZI NA UKARIBISHO WA WANAFUNZI WAPYA WA MWAKA WA KWANZA

Habarini Wapendwa wanaSFUCSO.

Kwanza napenda kuwapongeza ndugu zetu wapya waliochaguliwa kujiunga na Familia yetu ya SFUCHAS.

Hii ni ishara njema na yakudhihirisha kipaji cha pekee na neema ya Mwenyezi Mungu juu ya safari ya maisha ya Kielimu.

Kwaniaba ya Jumuiya nzima ya SFUCSO , Serikali ya wanafunzi na kwa namna ya kipekee kwa niaba ya Ofisi ya Rais..SFUCSO napenda kuwakaribisha na hakika imekuwa furaha kwetu kuwa nanyi kwa miaka kadhaa ijayo tukiishi kama familia.

Mungu awabaliki wote na aendelee kutujalia Hekima na Busara katika kutekeleza majukumu yetu na Tusome kwa Bidii ili tuweze kulisaidia Taifa letu.

Imetolewa na:

Xavery X, Chilemba.

Naibu Wizara ya Habari.

We work with different organisations to accomplish our goals. Tuliahidi na Tumetimiza

Tuesday 27 October 2015

JANA:

Kulikua na kikao cha ghafla kati ya Administration na Wizara ya fedha. Lengo ni kuhusiana na fedha ya Psychiatry Mirembe Dodoma.

Majibu: Fedha ya psychiatry huwa inatolewa na chuo (Accommodation and Transportation ) ambayo inakuja kuwa compasated baadae na SAUT main Campus.

Mwaka huu watatoa 5000 kwa siku badala ya 10,000 kama kawaida yao.

Wizara ya Fedha ilikataa na kuendelea kusimamia kutolewa 10,000 kwa wanafunzi.
Leo Wizara ya Fedha ina kikao tena na Administration na Mungu akipenda tunaweza tukafanikiwa kukubaliwa Ombi letu.

Nana Kalimu.

D/M For Finance and Planning
MD 4
Hon. Prof Magori The Principal of SFUCHAS sitting with former dean of Students Mr. Damian The Second from right watching football match marking Tigo Bonanza finals.
Jessam Nyato The Current President of the Students Organisation at SFUCHAS MD 4 (2015/2016)

 
SFUCSO_official BLOG © 2015 - Designed by Templateism.com