TAARIFA.
Wizara ya Fedha na Mipango kupitia Waziri wake Alex Lipendele inapenda kuwafahamisha wanafunzi wote kuwa CHECK kwa ajili ya Fedha za meals and accomodation zimefika. Ivyo Loan officer anakamilisha zoezi la kukusanya account number za wanafunzi wachache ambao hawakuwa na account na wamekuwa allocated kwa mwaka huu.
Zoezi likikamilika tutawaomba kuja kusign ili Pesa tuingiziwe Mapema.
Tunaomba uvumilivu kwa kipindi hiki.
Imetolewa na Wizara ya Habari.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment